207 – Muhammad bin ´Aliy bin Hasan bin Shaqiyq ametuhadithia: Baba yangu ametukhabarisha, kutoka kwa Husayn bin Waaqid, kutoka kwa Abuz-Zubayr, kutoka kwa Jaabir, ambaye ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nimepokea funguo za hazina ya maisha ya dunia juu ya farasi mwenye madoadoa; Jibriyl ndiye kaniletea.”[1]
[1] Ahmad (14104). Dhaifu kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “adh-Dhwa´iyfah” (1730).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 54
- Imechapishwa: 16/07/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket