135 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliingia kwa bwana mmoja akimzuru:
لا بأْسَ طَهـورٌ إِنْ شـاءَ الله
“Hapana neno; [ugonjwa] ni kusafishwa [madhambi] – Allaah akitaka.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy.
MAELEZO
Ndani yake kuna uwekwaji Shari´ah wa kumuombea du´aa mgonjwa kwa kusema:
لا بأْسَ طَهـورٌ إِنْ شـاءَ الله
“Hapana neno; [ugonjwa] ni kusafishwa [madhambi] – Allaah akitaka.”
Hapana vibaya akizidisha du´aa nyenginezo zisizokuwa na ubaya wowote. Kwa mfano anaweza kusema:
شفاك الله
“Allaah akuponye.”
نسأل الله أن يشفيك ويعافيك
“Tunamuomba Allaah akusalimishe na akuponye.”
جمع الله لك بين الأجر والعافية
“Allaah akukusanyie kati ya ujira na usalama.”
[1] al-Bukhaariy (5662).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 130
- Imechapishwa: 11/11/2025
135 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliingia kwa bwana mmoja akimzuru:
لا بأْسَ طَهـورٌ إِنْ شـاءَ الله
“Hapana neno; [ugonjwa] ni kusafishwa [madhambi] – Allaah akitaka.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy.
MAELEZO
Ndani yake kuna uwekwaji Shari´ah wa kumuombea du´aa mgonjwa kwa kusema:
لا بأْسَ طَهـورٌ إِنْ شـاءَ الله
“Hapana neno; [ugonjwa] ni kusafishwa [madhambi] – Allaah akitaka.”
Hapana vibaya akizidisha du´aa nyenginezo zisizokuwa na ubaya wowote. Kwa mfano anaweza kusema:
شفاك الله
“Allaah akuponye.”
نسأل الله أن يشفيك ويعافيك
“Tunamuomba Allaah akusalimishe na akuponye.”
جمع الله لك بين الأجر والعافية
“Allaah akukusanyie kati ya ujira na usalama.”
[1] al-Bukhaariy (5662).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 130
Imechapishwa: 11/11/2025
https://firqatunnajia.com/51-duaa-wakati-wa-kumtembelea-mgonjwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
