Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiifanya Rukuu´ yake, kusimama kwake baada ya Rukuu´, Sujuud yake na kitako chake baina ya Sujuud mbili zinataka kukaribiana urefu[1].
[1] al-Bukhaariy na Muslim. Imetajwa katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (331).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 116
- Imechapishwa: 17/02/2017
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiifanya Rukuu´ yake, kusimama kwake baada ya Rukuu´, Sujuud yake na kitako chake baina ya Sujuud mbili zinataka kukaribiana urefu[1].
[1] al-Bukhaariy na Muslim. Imetajwa katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (331).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 116
Imechapishwa: 17/02/2017
https://firqatunnajia.com/50-kuirefusha-rukuu/