Swali 50: Je, kusoma Suurah “al-Kahf” siku ya ijumaa na usiku wake ni kitendo kilichosuniwa[1]?
Jibu: Kumepokelewa juu ya hilo Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambazo zinapeana nguvu zinazofahamisha usuniwaji wa kusoma Suurah “al-Kahf” siku ya ijumaa. Hilo limethibiti kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh). Mfano wa jambo hili halifanywi kutokana na vile anavoona mtu. Bali inajulisha kwamba yuko na Hadiyth juu ya hilo.
[1] Ahmad (1903) na Muslim (414-415).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 101
- Imechapishwa: 07/12/2021
Swali 50: Je, kusoma Suurah “al-Kahf” siku ya ijumaa na usiku wake ni kitendo kilichosuniwa[1]?
Jibu: Kumepokelewa juu ya hilo Hadiyth kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambazo zinapeana nguvu zinazofahamisha usuniwaji wa kusoma Suurah “al-Kahf” siku ya ijumaa. Hilo limethibiti kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh). Mfano wa jambo hili halifanywi kutokana na vile anavoona mtu. Bali inajulisha kwamba yuko na Hadiyth juu ya hilo.
[1] Ahmad (1903) na Muslim (414-415).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 101
Imechapishwa: 07/12/2021
https://firqatunnajia.com/50-hadiyth-kuhusu-kusoma-al-kahf-siku-ya-ijumaa-zinapeana-nguvu/