205 – Muhammad bin al-Husayn ametuhadithia: Abu Hudhwayfah ametukhabarisha, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan, kutoka kwa ´Utayy, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ameifananisha dunia na mfano wa mwanadamu. Basi na aangalie mtu kinachotoka kwa mwanadamu, hata kama atakipamba na kukitia chumvi, mwishowe na aangalie kinavyoishilia.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (382).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 53
- Imechapishwa: 15/07/2025
205 – Muhammad bin al-Husayn ametuhadithia: Abu Hudhwayfah ametukhabarisha, kutoka kwa Sufyaan, kutoka kwa Yuunus, kutoka kwa al-Hasan, kutoka kwa ´Utayy, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ameifananisha dunia na mfano wa mwanadamu. Basi na aangalie mtu kinachotoka kwa mwanadamu, hata kama atakipamba na kukitia chumvi, mwishowe na aangalie kinavyoishilia.”[1]
[1] Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “as-Swahiyhah” (382).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 53
Imechapishwa: 15/07/2025
https://firqatunnajia.com/49-mfano-maishilio-ya-mwisho-ya-dunia/