46 – Qays amesimulia:
”Wakati ´Umar alipofika Shaam juu ya ngamia wake, watu walimpokea na wakasema: ”Ee kiongozi wa waumini! Endapo ungepanda farasi wa kazi, ukapokelewa na viongozi na watu wenye ngazi za juu.” Akasema: ”Nisikuonyesheni hapa? Amri inatokezea hapa” na akaashiria kwa mkono wake mbinguni.”[1]
Cheni ya wapokezi wake iko wazi kabisa.
[1] Ameipokea ad-Daarimiy, uk. 105, na katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 26. Na pia mtunzi kupitia kwake ambapo ameipokea. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 102-103
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
46 – Qays amesimulia:
”Wakati ´Umar alipofika Shaam juu ya ngamia wake, watu walimpokea na wakasema: ”Ee kiongozi wa waumini! Endapo ungepanda farasi wa kazi, ukapokelewa na viongozi na watu wenye ngazi za juu.” Akasema: ”Nisikuonyesheni hapa? Amri inatokezea hapa” na akaashiria kwa mkono wake mbinguni.”[1]
Cheni ya wapokezi wake iko wazi kabisa.
[1] Ameipokea ad-Daarimiy, uk. 105, na katika “ar-Radd ´alaal-Jahmiyyah”, uk. 26. Na pia mtunzi kupitia kwake ambapo ameipokea. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 102-103
Imechapishwa: 24/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/49-amri-inatokea-mbinguni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
