131 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba alikuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokuwa safarini na akaamka kabla ya alfajiri basi husema:
سَمِعَ سَامِعُ بِحَمْدِ اللَّهِ، وَحُسْنِ بَلَائِهِ عَلَيْنَا ، رَبَّنَا صَاحِبْنَا ، وَأَفْضِلْ عَلَيْنَا ، عَائِدًا بِاللَّهِ مِنَ النَّارِ
“Amesikia msikilizaji himdi za Allaah, uzuri wa mtihani Wake kwetu, Mola wetu ndiye Muhifadhi wetu, akatufadhilisha hali ya kuwa ni wenye kujilinda Kwake kutokana na Moto.”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna du´aa ya msafiri anapoamka kabla ya alfajiri, ikiwa na maana ya mwisho wa usiku.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mola wetu ndiye Muhifadhi wetu… “
Bi maana anayetuhifadhi na anayetusimamia.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… akatufadhilisha… “
Kwa neema Zake kunjufu na akatuondoshea kila kinachochukiza.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… hali ya kuwa ni wenye kujilinda Kwake kutokana na Moto.”
Bi maana hali ya kuwa ni wenye kujilinda kwa Allaah kutokana na Moto.
[1] Muslim (2718).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 127
- Imechapishwa: 10/11/2025
131 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba alikuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapokuwa safarini na akaamka kabla ya alfajiri basi husema:
سَمِعَ سَامِعُ بِحَمْدِ اللَّهِ، وَحُسْنِ بَلَائِهِ عَلَيْنَا ، رَبَّنَا صَاحِبْنَا ، وَأَفْضِلْ عَلَيْنَا ، عَائِدًا بِاللَّهِ مِنَ النَّارِ
“Amesikia msikilizaji himdi za Allaah, uzuri wa mtihani Wake kwetu, Mola wetu ndiye Muhifadhi wetu, akatufadhilisha hali ya kuwa ni wenye kujilinda Kwake kutokana na Moto.”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii kuna du´aa ya msafiri anapoamka kabla ya alfajiri, ikiwa na maana ya mwisho wa usiku.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mola wetu ndiye Muhifadhi wetu… “
Bi maana anayetuhifadhi na anayetusimamia.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… akatufadhilisha… “
Kwa neema Zake kunjufu na akatuondoshea kila kinachochukiza.
Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“… hali ya kuwa ni wenye kujilinda Kwake kutokana na Moto.”
Bi maana hali ya kuwa ni wenye kujilinda kwa Allaah kutokana na Moto.
[1] Muslim (2718).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 127
Imechapishwa: 10/11/2025
https://firqatunnajia.com/48-duaa-ya-msafiri-anapoanza-safari-yake-kabla-ya-afajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
