50- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Allaah alifunga mkataba kutoka kwenye mgongo wa Aadam. Baada ya kizazi chake chote kutoka mgongoni mwake akawatawanyisha mbele ya mikono Yake na akasema: “Je, mimi si Mola wenu?” Wakasema: “Ndio.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (714), Ahmad (1/172) na Ibn Abiy ´Aaswim (202).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 34
- Imechapishwa: 11/07/2019
50- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Allaah alifunga mkataba kutoka kwenye mgongo wa Aadam. Baada ya kizazi chake chote kutoka mgongoni mwake akawatawanyisha mbele ya mikono Yake na akasema: “Je, mimi si Mola wenu?” Wakasema: “Ndio.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (714), Ahmad (1/172) na Ibn Abiy ´Aaswim (202).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 34
Imechapishwa: 11/07/2019
https://firqatunnajia.com/48-dalili-ya-ishirini-na-tatu-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/