49- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Wakati Allaah alipomuumba Aadam akamtikisa kama mkoba ambapo wakadondoka kama mabuu. Kisha akashika mikamato miwili na akauambia ule wa kuume: “Peponi.” Akauambia ule wa kushoto: “Motoni.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (713).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 34
- Imechapishwa: 10/07/2019
49- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Wakati Allaah alipomuumba Aadam akamtikisa kama mkoba ambapo wakadondoka kama mabuu. Kisha akashika mikamato miwili na akauambia ule wa kuume: “Peponi.” Akauambia ule wa kushoto: “Motoni.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (713).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 34
Imechapishwa: 10/07/2019
https://firqatunnajia.com/47-maneno-ya-abdullaah-bin-amr-kuhusu-mikono-ya-allaah/