Swali 47: Baadhi ya maimamu wanamsubiri anayeingia ili awahi Rak´ah na baadhi ya wengine wanasema kuwa haikusuniwa kusubiri. Ni yepi ya sawa?

Jibu: Usawa ni kumsubiri kidogo anayeingia ili awahi Rak´ah kwa ajili ya kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Muhimmah, uk. 54
  • Imechapishwa: 01/09/2022