202 – Abu Bakr ametukhabarisha: Abu Mu´aawiyah ametukhabarisha, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Shamr, kutoka kwa Mughiyrah bin Sa´d bin al-Akhram, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa ´Abdullaah bin Mas´uud, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Msijichukulie mashamba na mkaanza kuyapupia maisha ya duniani.”[1]

[1] at-Tirmidhiy (2328). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (7214).

  • Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 51-52
  • Imechapishwa: 14/07/2025