6 – Madhehebu ya Dhwaahiriyyah:
Imaam Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) amesema katika kitabu chake ”al-Muhallaa”:
”Kuweka sharti kwamba soksi ziwe na ngozi hakuna maana, kwa sababu haikuja katika Qur-aan, Sunnah, kipimo wala maneno ya Swahabah. Kuzuia kupaka juu ya soksi ni kosa, kwa sababu ni kinyume cha Sunnah iliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na pia kinyume cha masimulizi. Isitoshe Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakubagua soksi za ngozi kutokana na kitu kingine.”[1]
[1] al-Muhallaa (2/87).
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad Jamaal-ud-Diyn bin Muhammad al-Qaasimiy (afk. 1332)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mash ´alaal-Jawrabayn, uk. 70
- Imechapishwa: 20/04/2026
6 – Madhehebu ya Dhwaahiriyyah:
Imaam Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) amesema katika kitabu chake ”al-Muhallaa”:
”Kuweka sharti kwamba soksi ziwe na ngozi hakuna maana, kwa sababu haikuja katika Qur-aan, Sunnah, kipimo wala maneno ya Swahabah. Kuzuia kupaka juu ya soksi ni kosa, kwa sababu ni kinyume cha Sunnah iliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na pia kinyume cha masimulizi. Isitoshe Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakubagua soksi za ngozi kutokana na kitu kingine.”[1]
[1] al-Muhallaa (2/87).
Muhusika: ´Allaamah Muhammad Jamaal-ud-Diyn bin Muhammad al-Qaasimiy (afk. 1332)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mash ´alaal-Jawrabayn, uk. 70
Imechapishwa: 20/04/2026
https://firqatunnajia.com/46-madhehebu-ya-dhwaahiriyya-kuhusu-kupangusa-juu-ya-soksi/