Swali 46: Je, inafaa kuwafasiria Khutbah watu wakiwa sio waarabu ili waweze kufahamu maana yake[1]?
Jibu: Ndio, inafaa kufanya hivo. Atoe Khutbah kwa kiarabu na aifasiri Khutbah kwa ile lugha ambayo wanaifahamu wasikilizaji. Lengo ni kuwawaidhi, kuwakumbusha na kuwafunza hukumu za ki-Shari´ah, jambo ambalo halipatikani isipokuwa kwa tarjama.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/370).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 97
- Imechapishwa: 05/12/2021
Swali 46: Je, inafaa kuwafasiria Khutbah watu wakiwa sio waarabu ili waweze kufahamu maana yake[1]?
Jibu: Ndio, inafaa kufanya hivo. Atoe Khutbah kwa kiarabu na aifasiri Khutbah kwa ile lugha ambayo wanaifahamu wasikilizaji. Lengo ni kuwawaidhi, kuwakumbusha na kuwafunza hukumu za ki-Shari´ah, jambo ambalo halipatikani isipokuwa kwa tarjama.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (12/370).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam Swalaat-il-Jumu´ah wal-Jamaa´ah, uk. 97
Imechapishwa: 05/12/2021
https://firqatunnajia.com/46-kuifanyia-khutbah-ya-ijumaa-tarjama/