184- Kuna mtu ameeleza:
”Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mnyama wake ulipojikwaa. Nikasema: ”Shaytwaan aangamie!” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): ”Usiseme ”Shaytwaan aangamie!” Ukisema hivo hujiona mpaka anakuwa mkubwa kama nyumba na kusema: ”Ninaapa kwa nguvu zangu” Badala yake sema:
بسم الله
”Kwa jina la Allaah.”
Ukisema hivo huogopa mpaka hujiona mdogo kama nzi.”
- Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 112-113
- Imechapishwa: 21/03/2017
184- Kuna mtu ameeleza:
”Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mnyama wake ulipojikwaa. Nikasema: ”Shaytwaan aangamie!” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam): ”Usiseme ”Shaytwaan aangamie!” Ukisema hivo hujiona mpaka anakuwa mkubwa kama nyumba na kusema: ”Ninaapa kwa nguvu zangu” Badala yake sema:
بسم الله
”Kwa jina la Allaah.”
Ukisema hivo huogopa mpaka hujiona mdogo kama nzi.”
Mhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 112-113
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/46-duaa-wakati-mnyama-wa-mpando-anapojikwaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)