47- Imesihi kupokelewa kutoka kwa Abu Yahyaa ambaye ameeleza kwamba Mujaahid amesema:
وَالسَّمَاوَاتُ مَطْوِيَّاتٌ بِيَمِينِهِ
”Mbingu zitakunjwa mkononi mwake mwa kuume.”33
“Mikono yote miwili ya Mwingi wa huruma ni ya kuume.” Nikasema: “Watu watakuweko wapi siku hiyo?” Akasema: “Juu ya daraja la Moto.”[1]
Imepokelewa na Israa’iyl kutoka kwa Abu Yahya.
[1] 39:67 ar-Radd ´alaa Bishr al-Mariysiy, uk. 36, na al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (709).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 33
- Imechapishwa: 10/07/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket