29 – Kulegeza sauti

Miongoni mwa makosa yanayoenda kinyume na na Shari´ah ni kulegeza sauti katika mazungumzo. Ni mamoja mwanamke anazungumza moja kwa moja na wanaume au kupitia simu, jambo ambalo halijuzu. Amesema (Ta´ala):

فَلَا تَخْضَعْنَ بِالْقَوْلِ فَيَطْمَعَ الَّذِي فِي قَلْبِهِ مَرَضٌ

”Msilegeze sauti asije akaingiwa tamaa ambaye moyoni mwake mna maradhi.”[1]

[1] 33:32

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 36
  • Imechapishwa: 22/03/2026