42 – Thaabit al-Bunaaniy amesimulia:
”Daawuud alikuwa akirefusha swalah, kisha akirukuu, kisha akinyanyua kichwa chake kuelekea mbinguni na akisema: ”Wewe Uliye juu ya mbingu! Nimekiinua kichwa changu kukielekeza Kwako, kama ambavo watumwa wanawatazama mabwana zao, ee Ambaye unaishi juu ya mbingu!”
Cheni ya wapokezi ni njema.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 99
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
42 – Thaabit al-Bunaaniy amesimulia:
”Daawuud alikuwa akirefusha swalah, kisha akirukuu, kisha akinyanyua kichwa chake kuelekea mbinguni na akisema: ”Wewe Uliye juu ya mbingu! Nimekiinua kichwa changu kukielekeza Kwako, kama ambavo watumwa wanawatazama mabwana zao, ee Ambaye unaishi juu ya mbingu!”
Cheni ya wapokezi ni njema.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 99
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/43-wewe-uliye-juu-ya-mbingu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)