42 – Thaabit al-Bunaaniy amesimulia:

”Daawuud alikuwa akirefusha swalah, kisha akirukuu, kisha akinyanyua kichwa chake kuelekea mbinguni na akisema: ”Wewe Uliye juu ya mbingu! Nimekiinua kichwa changu kukielekeza Kwako, kama ambavo watumwa wanawatazama mabwana zao, ee Ambaye unaishi juu ya mbingu!”

Cheni ya wapokezi ni njema.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 99
  • Imechapishwa: 24/06/2024
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy