144-
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”[1]
[1] ”Muumini mwenye nguvu ni bora na mwenye kupendwa zaidi na Allaah kuliko muumini dhaifu – wote wana kheri. Pupia yale yanayokunufaisha na mtake msaada Allaah na usivunjika moyo. Ukipatwa na kitu usiseme ´lau ningefanya kadhaa ingelikuwa kadhaa na kadha`. Badala yake sema:
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”
Kwani hakika neno ´lau´ linafungua matendo ya shaytwaan.” Muslim (04/2052).
- Muhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Huswn-ul-Muslim
- Imechapishwa: 29/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket