144-
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”[1]
[1] ”Muumini mwenye nguvu ni bora na mwenye kupendwa zaidi na Allaah kuliko muumini dhaifu – wote wana kheri. Pupia yale yanayokunufaisha na mtake msaada Allaah na usivunjika moyo. Ukipatwa na kitu usiseme ´lau ningefanya kadhaa ingelikuwa kadhaa na kadha`. Badala yake sema:
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”
Kwani hakika neno ´lau´ linafungua matendo ya shaytwaan.” Muslim (04/2052).
- Muhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Huswn-ul-Muslim
- Imechapishwa: 29/04/2020
144-
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”[1]
[1] ”Muumini mwenye nguvu ni bora na mwenye kupendwa zaidi na Allaah kuliko muumini dhaifu – wote wana kheri. Pupia yale yanayokunufaisha na mtake msaada Allaah na usivunjika moyo. Ukipatwa na kitu usiseme ´lau ningefanya kadhaa ingelikuwa kadhaa na kadha`. Badala yake sema:
قَدَّرَ اللهُ وَما شـاءَ فَعَـلَ
“Allaah amekadiria na akitakacho hufanya.”
Kwani hakika neno ´lau´ linafungua matendo ya shaytwaan.” Muslim (04/2052).
Muhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Huswn-ul-Muslim
Imechapishwa: 29/04/2020
https://firqatunnajia.com/43-duaa-pindi-kunapotokea-kitu-kisichomfurahisha-mtu-au-akashindwa-kufanya-jambo/