126 – al-Baraa´ (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia: “Tulikuwa tunaposwali nyuma ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) tunapenda kuwa upande wake wa kulia na yeye anatuelekea kwa uso wake. Tukamsikia akisema:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii imekuja ya kwamba du´aa hii imewekwa katika Shari´ah baada ya kumaliza kuswali:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”
Vilevile imesuniwa kuisoma wakati wa kulala, kama ilivyokuja katika Hadiyth ya Hudhayfah bin al-Yamaan (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kulala, huweka mkono wake chini ya kichwa chake kisha anasema:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”[2]
[1] Muslim (709).
[2] Sunan-it-Tirmidhiy (3398).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 119-120
- Imechapishwa: 09/11/2025
126 – al-Baraa´ (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia: “Tulikuwa tunaposwali nyuma ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) tunapenda kuwa upande wake wa kulia na yeye anatuelekea kwa uso wake. Tukamsikia akisema:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”[1]
Ameipokea Muslim.
MAELEZO
Katika Hadiyth hii imekuja ya kwamba du´aa hii imewekwa katika Shari´ah baada ya kumaliza kuswali:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”
Vilevile imesuniwa kuisoma wakati wa kulala, kama ilivyokuja katika Hadiyth ya Hudhayfah bin al-Yamaan (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anataka kulala, huweka mkono wake chini ya kichwa chake kisha anasema:
رَبِّ قِنِي عَذَابَكَ يَوْمَ تَبْعَثُ – أَوْ تَجمَعُ – عِبَادَكَ
“Mola nikinge na adhabu siku utayofufua – au akikusanya – waja Wako.”[2]
[1] Muslim (709).
[2] Sunan-it-Tirmidhiy (3398).
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Ad´iyah wal-Adhkaar, uk. 119-120
Imechapishwa: 09/11/2025
https://firqatunnajia.com/43-adhkaar-za-baada-ya-swalah-iii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
