26 – Kuwachukulia poa mashameji

Miongoni mwa makosa yanayopingana na Shari´ah ni mwanamke kuchukulia wepesi katika baadhi ya mambo pamoja na  ndugu yake mume (shemeji), kama vile kufanya utani, kusalimiana kwa mikono, kutovaa Hijaab inayokubalika katika Shari´ah na wakati mwingine anakaa naye faragha nyumbani, mambo ambayo hayajuzu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu shemeji ambapo akasema:

”Shemeji ni kifo.”[1]

[1] al-Bukhaariy na Muslim.

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 34-35
  • Imechapishwa: 22/03/2026