Hadiyth hii na zile ambazo zimekataza kusoma nyuma ya imamu, kama mfano wa:
“Yule mwenye imamu, basi kisomo chake ndio kisomo chake.”
na:
“Anaposoma, basi nyamazeni.”
zinaoanishwa kwa kufasiriwa kwamba zinamaanisha kisomo kisichokuwa al-Faatihah.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 49
- Imechapishwa: 02/06/2026
Hadiyth hii na zile ambazo zimekataza kusoma nyuma ya imamu, kama mfano wa:
“Yule mwenye imamu, basi kisomo chake ndio kisomo chake.”
na:
“Anaposoma, basi nyamazeni.”
zinaoanishwa kwa kufasiriwa kwamba zinamaanisha kisomo kisichokuwa al-Faatihah.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Shuruwt-is-Swalaah, uk. 49
Imechapishwa: 02/06/2026
https://firqatunnajia.com/42-kunamaanishwa-isiyokuwa-al-faatihah/