Swali 42: Je, kuzidishwe idadi ya Takbiyr maiti akiwa na ubora[1]?
Jibu: Bora ni kufupika na nne, kama inavofanywa hivi sasa. Kwa sababu hili ndilo la mwisho katika matendo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na an-Najaashiy licha ya kwamba anayo sifa kubwa ya kipekee. Alitosheka (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika kumpigia Takbiyr nne.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/148).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 34
- Imechapishwa: 20/12/2021
Swali 42: Je, kuzidishwe idadi ya Takbiyr maiti akiwa na ubora[1]?
Jibu: Bora ni kufupika na nne, kama inavofanywa hivi sasa. Kwa sababu hili ndilo la mwisho katika matendo ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na an-Najaashiy licha ya kwamba anayo sifa kubwa ya kipekee. Alitosheka (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika kumpigia Takbiyr nne.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/148).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 34
Imechapishwa: 20/12/2021
https://firqatunnajia.com/42-je-kuzidishwe-idadi-ya-takbiyr-maiti-akiwa-na-ubora/