42- Abu Muhammad Yahyaa bin Muhammad bin Swaa´id ametusomea: Fudhwayl bin ´Iyaadhw ametuhadithia, kutoka kwa Sulaymaan (bin al-A´mash), kutoka kwa Abu Sufyaan, kutoka kwa Anas bin Maalik aliyesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema: “Ee Mwenye kuzigeuza nyoyo. Uthibitishe moyo wangu katika dini Yako.” Wakasema: “Unachelea juu yetu ilihali tumekuamini na tumekuwa na yakini juu ya yale uliyokuja nayo kwetu?” Akasema: “Ni kipi kinachonijuza? Hakika nyoyo za viumbe ziko kati ya vidole viwili katika vidole vya Allaah (´Azza wa Jall).”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 88-90
- Imechapishwa: 31/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket