190 – Abu Muusa ametuhadithia: Muhammad bin Jahdhwam ametukhabarisha, kutoka kwa Ismaa´iyl bin Ja´far, kutoka kwa ´Umaarah bin Ghaziyyah, kutoka kwa ´Aaswim bin ´Umar bin Qataadah, kutoka kwa Mahmuud bin Labiyd, kutoka kwa Qataadah bin an-Nu´maan, amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) anapompenda mja, basi humlinda na dunia kama vile mmoja wenu anavyomkinga mtoto wake mgonjwa kutokana na maji.”[1]
191 – ´Abdul-Wahhaab bin adh-Dhwahhaak ametukhabarisha mfano wa hayo: Ismaa´iyl bin ´Ayyaash ametukhabarisha, kutoka kwa ´Umaarah bin Ghaziyyah, kutoka kwa ´Aaswim bin ´Umar bin Qataadah, kutoka kwa Mahmuud bin Labiyd, kutoka kwa Qataadah bin an-Nu´maan, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] at-Tirmidhiy (2036). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (2036).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 49
- Imechapishwa: 13/07/2025
190 – Abu Muusa ametuhadithia: Muhammad bin Jahdhwam ametukhabarisha, kutoka kwa Ismaa´iyl bin Ja´far, kutoka kwa ´Umaarah bin Ghaziyyah, kutoka kwa ´Aaswim bin ´Umar bin Qataadah, kutoka kwa Mahmuud bin Labiyd, kutoka kwa Qataadah bin an-Nu´maan, amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) anapompenda mja, basi humlinda na dunia kama vile mmoja wenu anavyomkinga mtoto wake mgonjwa kutokana na maji.”[1]
191 – ´Abdul-Wahhaab bin adh-Dhwahhaak ametukhabarisha mfano wa hayo: Ismaa´iyl bin ´Ayyaash ametukhabarisha, kutoka kwa ´Umaarah bin Ghaziyyah, kutoka kwa ´Aaswim bin ´Umar bin Qataadah, kutoka kwa Mahmuud bin Labiyd, kutoka kwa Qataadah bin an-Nu´maan, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] at-Tirmidhiy (2036). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (2036).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 49
Imechapishwa: 13/07/2025
https://firqatunnajia.com/42-allaah-humlinda-mja-wake-dhidi-ya-ulimwengu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
