al-Qummiy amesema wakati alipokuwa akifasiri Aayah:
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا ادْخُلُوا فِي السِّلْمِ كَافَّةً
“Enyi mlioamini! Ingieni katika Uislamu kikamilifu.” (02:208)
“Bi maana uongozi wa Kiongozi wa waumini.”[1]
Baatwiniy huyu tunamwambia ya kwamba Aayah hii Allaah Anawaamrisha waumini watendee kazi mambo yote yaliyowekwa katika Shari´ah katika imani na Uislamu. Lakini hata hivyo Baatwiniy huyu amesafisha maana ya Aayah kwa tafsiri yake. Iko wapi imani kumuamini Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Kuko wapi kusimamisha Shari´ah za Kiislamu?
[1] Tafsiyr al-Qummiy.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Intiswaar li Kitaab-il-´Aziyz al-Jabbaar, uk. 77
- Imechapishwa: 19/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)