38 – al-Bukhaariy amepokea katika ”as-Swahiyh” yake, chuo kinachowaraddi Jahmiyyah, mlango unaosema: ”Kwake linapanda neno zuri”, ya kwamba Ibn ´Abbaas amesema:
”Wakati Abu Dharr alipofikiwa na khabari ya kutumilizwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), alimwambia ndugu yake: ”Nijuze juu ya bwana huyu anayedai kuwa anajiwa na khabari kutoka mbinguni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (3861).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 98
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
38 – al-Bukhaariy amepokea katika ”as-Swahiyh” yake, chuo kinachowaraddi Jahmiyyah, mlango unaosema: ”Kwake linapanda neno zuri”, ya kwamba Ibn ´Abbaas amesema:
”Wakati Abu Dharr alipofikiwa na khabari ya kutumilizwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), alimwambia ndugu yake: ”Nijuze juu ya bwana huyu anayedai kuwa anajiwa na khabari kutoka mbinguni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (3861).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 98
Imechapishwa: 24/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/41-khabari-kutoka-mbinguni/