38 – al-Bukhaariy amepokea katika ”as-Swahiyh” yake, chuo kinachowaraddi Jahmiyyah, mlango unaosema: ”Kwake linapanda neno zuri”, ya kwamba Ibn ´Abbaas amesema:
”Wakati Abu Dharr alipofikiwa na khabari ya kutumilizwa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), alimwambia ndugu yake: ”Nijuze juu ya bwana huyu anayedai kuwa anajiwa na khabari kutoka mbinguni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (3861).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 98
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket