10- Kuna kundi la wanachuoni wameonelea kuchukizwa wanaume kuitwa kwa majina ya Malaika kama Jibraa-iyl, Mikaa-iyl na Israafiyl (´alayhimus-Salaam). Kuhusu wanawake kuitwa kwa majina ya Malaika, udhahiri ni kwamba ni haramu kuwapa majina ya Malaika kwa sababu ni kujifananisha na washirikina waliowafanya Malaika kuwa ni mabanati wa Allaah – Allaah ametakasika na wayasemayo! Majina yaliyo vilevile karibu na haya ni kumpa msichana jina la Malaak na Malakah.
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
- Imechapishwa: 18/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket