Makundi mawili yaliyonyamaza ni:
1- Kundi ambalo linaona kwamba maandiko yanaweza kumthibitishia Allaah sifa zinazolingana Naye. Upande mwingine hawahitajii kufanya hivo. Fuqahaa´ wengi na wengineo wana mtazamo huo.
2- Kundi ambalo wamepuuzia yote hayo kikamilifu. Wametosheka peke yake na kusoma Qur-aan na Hadiyth.
Tofauti kati ya makundi haya mawili, ni kuwa hilo la kwanza linaonelea kuwa yote mawili yanawezekana; kuthibitisha sifa na kutothibitisha. Kundi la pili halisemi kitu kabisa – na Allaah ndiye anajua zaidi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath Rabb-il-Bariyyah, uk. 88
- Imechapishwa: 13/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket