185 – Muhammad bin Abiy Bakr al-Maqdamiy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdir-Rahmaan at-Twafaawiy ametukhabarisha, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Mujaahid, kutoka kwa Ibn ´Umar, ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alinishika na kusema: “Kuwa duniani kama kwamba wewe ni mgeni au mpita njia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6416), at-Tirmidhiy (2333) na Ibn Maajah (4114).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 47
- Imechapishwa: 09/07/2025
185 – Muhammad bin Abiy Bakr al-Maqdamiy ametuhadithia: Muhammad bin ´Abdir-Rahmaan at-Twafaawiy ametukhabarisha, kutoka kwa al-A´mash, kutoka kwa Mujaahid, kutoka kwa Ibn ´Umar, ambaye amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) alinishika na kusema: “Kuwa duniani kama kwamba wewe ni mgeni au mpita njia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6416), at-Tirmidhiy (2333) na Ibn Maajah (4114).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 47
Imechapishwa: 09/07/2025
https://firqatunnajia.com/38-kuwa-duniani-kama-mgeni/