37. Maji juu ya mbingu ya saba, ´Arshi juu ya maji

35 – ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:

”Allaah ameweka maji juu ya mbingu ya saba na akaweka ´Arshi juu ya maji. Naapa kwa Ambaye nafsi yangu iko mkononi Mwake! Mwezi na jua vinajua kuwa vitaingia Motoni siku ya Qiyaamah.”

Haya ni maneno ya Swahabah.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 61-62
  • Imechapishwa: 24/06/2024
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy