37- Abul-´Izz Muhammad bin Muhammad bin Mawaahib al-Khuraasaaniy ametukhabarisha: Abul-Husayn bin at-Twuyuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Aliy bin al-Fath al-Harbiy ametuhadithia: Abu Hafsw bin Shaahiyn ametuhadithia: Muhammad bin Makhlad ametuhadithia: ´Abdus bin Bashiyr ametuhadithia: ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdil-Waahid al-´Asqalaaniy ametuhadithia: Abu Nu´aym ´Umar bin Subh ametuhadithia, kutoka kwa Muqaatil bin Hayyaan, kutoka kwa adh-Dhwahhaak bin Muzaahim, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah ana nguzo ya nuru inayoanzia kwenye mbingu ya saba mpaka juu kwenye ´Arshi. Wakati mja anaposema “Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah”basi nguzo ile inatikisika ambapo Allaah anasema: “Tulia.”Inasema: “Ee Mola! Ni vipi nitatulia na Wewe hujamsamehe aliyesema hivo?” Ndipo Allaah (Ta´ala) anasema: “Nimekwishamsamehe.” Hakikisheni mnaitikisa nguzo hiyo kwa wingi.”[1]
[1] Imezuliwa kwa mujibu wa Ibn-ul-Jawziy katika ”al-Mawdhuu´aat” (3/166). adh-Dhahabiy amesema:
”Ibn Hibbaan amesema kwamba ´Umar bin Subh anazua Hadiyth.” (Tartîb-ul-Mawdhû´ât (277))
- Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 128-129
- Imechapishwa: 18/06/2018
37- Abul-´Izz Muhammad bin Muhammad bin Mawaahib al-Khuraasaaniy ametukhabarisha: Abul-Husayn bin at-Twuyuuriy ametuhadithia: Muhammad bin ´Aliy bin al-Fath al-Harbiy ametuhadithia: Abu Hafsw bin Shaahiyn ametuhadithia: Muhammad bin Makhlad ametuhadithia: ´Abdus bin Bashiyr ametuhadithia: ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdil-Waahid al-´Asqalaaniy ametuhadithia: Abu Nu´aym ´Umar bin Subh ametuhadithia, kutoka kwa Muqaatil bin Hayyaan, kutoka kwa adh-Dhwahhaak bin Muzaahim, kutoka kwa Ibn ´Abbaas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah ana nguzo ya nuru inayoanzia kwenye mbingu ya saba mpaka juu kwenye ´Arshi. Wakati mja anaposema “Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah na kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah”basi nguzo ile inatikisika ambapo Allaah anasema: “Tulia.”Inasema: “Ee Mola! Ni vipi nitatulia na Wewe hujamsamehe aliyesema hivo?” Ndipo Allaah (Ta´ala) anasema: “Nimekwishamsamehe.” Hakikisheni mnaitikisa nguzo hiyo kwa wingi.”[1]
[1] Imezuliwa kwa mujibu wa Ibn-ul-Jawziy katika ”al-Mawdhuu´aat” (3/166). adh-Dhahabiy amesema:
”Ibn Hibbaan amesema kwamba ´Umar bin Subh anazua Hadiyth.” (Tartîb-ul-Mawdhû´ât (277))
Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 128-129
Imechapishwa: 18/06/2018
https://firqatunnajia.com/37-dalili-ya-thelathini-na-tano-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)