34 – Ameeleza pia kuwa amemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:

”Muuliwaji ataletwa damu ikimtoka kwenye mishipa yake ya moyo, hali ya kuwa amemshika muuaji, mpaka amfikishe kwenye ´Arshi, ambapo atasema: ”Ee Mola wangu! Muulize huyu ni kwa nini aliniua!”[1]

[1] Mtunzi wa kitabu ameipokea kupitia kwa Rawh bin ´Abbaad, ambaye alikuwa mmoja katika wanafunzi wa Ahmad, kutoka kwa Ibn ´Amr kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.

  • Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 97
  • taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy