34 – Ameeleza pia kuwa amemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Muuliwaji ataletwa damu ikimtoka kwenye mishipa yake ya moyo, hali ya kuwa amemshika muuaji, mpaka amfikishe kwenye ´Arshi, ambapo atasema: ”Ee Mola wangu! Muulize huyu ni kwa nini aliniua!”[1]
[1] Mtunzi wa kitabu ameipokea kupitia kwa Rawh bin ´Abbaad, ambaye alikuwa mmoja katika wanafunzi wa Ahmad, kutoka kwa Ibn ´Amr kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 97
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
34 – Ameeleza pia kuwa amemsikia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
”Muuliwaji ataletwa damu ikimtoka kwenye mishipa yake ya moyo, hali ya kuwa amemshika muuaji, mpaka amfikishe kwenye ´Arshi, ambapo atasema: ”Ee Mola wangu! Muulize huyu ni kwa nini aliniua!”[1]
[1] Mtunzi wa kitabu ameipokea kupitia kwa Rawh bin ´Abbaad, ambaye alikuwa mmoja katika wanafunzi wa Ahmad, kutoka kwa Ibn ´Amr kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 97
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/36-ni-kwa-nini-aliniua/