180 – Duhaym ametukhabarisha: al-Waliyd bin Muslim ametukhabarisha: Maalik bin Anas ametukhabarisha, kutoka kwa Zayd bin Aslam, kutoka kwka ´Atwaa’ bin Yasaar, kutoka kwa Abu Sa´iyd, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
“Kikubwa ninachokuhofieni zaidi baada yangu yale mapambo ya dunia ambayo Allaah atakutoleeni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6427) na Muslim (1052).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 45
- Imechapishwa: 09/07/2025
180 – Duhaym ametukhabarisha: al-Waliyd bin Muslim ametukhabarisha: Maalik bin Anas ametukhabarisha, kutoka kwa Zayd bin Aslam, kutoka kwka ´Atwaa’ bin Yasaar, kutoka kwa Abu Sa´iyd, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
“Kikubwa ninachokuhofieni zaidi baada yangu yale mapambo ya dunia ambayo Allaah atakutoleeni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6427) na Muslim (1052).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 45
Imechapishwa: 09/07/2025
https://firqatunnajia.com/35-mapambo-ya-dunia-ndio-khatari-kubwa/