180 – Duhaym ametukhabarisha: al-Waliyd bin Muslim ametukhabarisha: Maalik bin Anas ametukhabarisha, kutoka kwa Zayd bin Aslam, kutoka kwka ´Atwaa’ bin Yasaar, kutoka kwa Abu Sa´iyd, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
“Kikubwa ninachokuhofieni zaidi baada yangu yale mapambo ya dunia ambayo Allaah atakutoleeni.”[1]
[1] al-Bukhaariy (6427) na Muslim (1052).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 45
- Imechapishwa: 09/07/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket