32 – an-Nu´maan bin Bashiyr ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika miongoni mwa dhikr mnazodhukuru katika utukufu wa Allaah ni pamoja na Tasbiyh, Tahmiyd na Tahliyl. Zinaizunguka ´Arshi, wana mlio kama mlio wa nyuki na zinamtaja yule mwenye kuwataja. Je, hivi hapendi mmoja wenu siku zote akawepo mtu kwa Mwingi wa huruma anayekutajeni juu ya hilo?”[1]
[1] Hadiyth ni Swahiyh. Ameipokea Ibn Maajah (3809) na al-Haakim (1/503) ambaye amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 96
- Imechapishwa: 24/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
32 – an-Nu´maan bin Bashiyr ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Hakika miongoni mwa dhikr mnazodhukuru katika utukufu wa Allaah ni pamoja na Tasbiyh, Tahmiyd na Tahliyl. Zinaizunguka ´Arshi, wana mlio kama mlio wa nyuki na zinamtaja yule mwenye kuwataja. Je, hivi hapendi mmoja wenu siku zote akawepo mtu kwa Mwingi wa huruma anayekutajeni juu ya hilo?”[1]
[1] Hadiyth ni Swahiyh. Ameipokea Ibn Maajah (3809) na al-Haakim (1/503) ambaye amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh juu ya sharti za Muslim.”
adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 96
Imechapishwa: 24/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/34-mtu-anayekutajeni-mbele-ya-allaah/