18 – Muda mrefu wa mazungumzo kwa simu

Miongoni mwa makosa yanayokiuka Shari´ah ni kutumia muda mrefu kuzungumza na simu ambapo utamkuta mwanamke mmoja anazugnumza na mwanamke mwenzake kuhusu mambo yasiyo na umuhimu, ilihali walikuwa pamoja shuleni.

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 31
  • Imechapishwa: 11/03/2026