4- Imechukizwa kuitwa kwa jina lililo na maana ya dhambi au maasi. Dhaalim (dhalimu) bin Sarraaq (mwizi). Imepokelewa namna ´Uthmaan bin Abiyl-´Aasw alivyokataa kumuajiri mtu mwenye jina kama hilo, imepokelewa na al-Fasawiy katika “al-Ma´rifah wat-Taariykh” (03/102).
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
- Imechapishwa: 18/03/2017
4- Imechukizwa kuitwa kwa jina lililo na maana ya dhambi au maasi. Dhaalim (dhalimu) bin Sarraaq (mwizi). Imepokelewa namna ´Uthmaan bin Abiyl-´Aasw alivyokataa kumuajiri mtu mwenye jina kama hilo, imepokelewa na al-Fasawiy katika “al-Ma´rifah wat-Taariykh” (03/102).
Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/34-aina-ya-nne-majina-yaliyochukizwa/