17 – Kupaka rangi za kucha

Miongoni mwa makosa yanayokiuka Shari´ah ni kuweka rangi ya kucha inayojulikana kama “manikiyr” na kutokuiondoa wakati wa kuswali, jambo ambalo ni kosa kwa sababu rangi hiyo inazuia maji kufika kwenye kucha wakati wa kutawadha. Kwa hivyo ni lazima iondolewe wakati wa kutawadha.

  • Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 31
  • Imechapishwa: 11/03/2026