Imaam al-Barbahaariy (Rahimahu Allaah) amesema:
17- Kuamini Muonekano siku ya Qiyaamah. Watamuona Allaah (´Azza wa Jall) kwa macho yaliyo vichwani mwao na yeye atawafanyia hesabu pasi na pazia wala mkalimani.
MAELEZO
Miongoni mwa mambo ya ´Aqiydah muhimu tena makubwa ni kuthibitisha kuonekana kwa Allaah (´Azza wa Jalla). Waumini watamuona Mola Wao siku ya Qiyaamah kwa macho yao kama wanavyouona mwezi usiku wa mwezi mng´aro na kama wanavyoliona jua waziwazi pasi na mawingu – kama ilivyokuja katika Hadiyth Swahiyh. Kumepokelewa Hadiyth nyingi zinazothibitisha waumini kumuona Mola Wao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 72
- Imechapishwa: 27/01/2018
Imaam al-Barbahaariy (Rahimahu Allaah) amesema:
17- Kuamini Muonekano siku ya Qiyaamah. Watamuona Allaah (´Azza wa Jall) kwa macho yaliyo vichwani mwao na yeye atawafanyia hesabu pasi na pazia wala mkalimani.
MAELEZO
Miongoni mwa mambo ya ´Aqiydah muhimu tena makubwa ni kuthibitisha kuonekana kwa Allaah (´Azza wa Jalla). Waumini watamuona Mola Wao siku ya Qiyaamah kwa macho yao kama wanavyouona mwezi usiku wa mwezi mng´aro na kama wanavyoliona jua waziwazi pasi na mawingu – kama ilivyokuja katika Hadiyth Swahiyh. Kumepokelewa Hadiyth nyingi zinazothibitisha waumini kumuona Mola Wao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Sharh-is-Sunnah, uk. 72
Imechapishwa: 27/01/2018
https://firqatunnajia.com/32-waumini-watamuona-mola-wao-siku-ya-qiyaamah-pasi-na-kizuizi/