30 – ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kizazi kimening´inizwa na ´Arshi. Na si yule mwenye kuunga ndiye anayekihifadhi, lakini ambaye anakihifadhi ni ambaye anapokatwa na jamaa yake basi yeye anamuunga.”[1]
Cheni ya wapokezi wake ni yenye nguvu.
[1] Ahmad (2/163) na (2/193). Cheni ya wapokezi wake ni swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy. al-Bukhaariy ameipokea katika “as-Swahiyh” yake pasi na ”Kizazi kimening´inizwa na ´Arshi”. Imesahihishwa na at-Tirmidhiy. Ziada hii inatiliwa nguvu na Hadiyth nyingi kutoka kwa jopo la Maswahabah, ikiwa ni pamoja na ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) kwa al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95-96
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
30 – ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Kizazi kimening´inizwa na ´Arshi. Na si yule mwenye kuunga ndiye anayekihifadhi, lakini ambaye anakihifadhi ni ambaye anapokatwa na jamaa yake basi yeye anamuunga.”[1]
Cheni ya wapokezi wake ni yenye nguvu.
[1] Ahmad (2/163) na (2/193). Cheni ya wapokezi wake ni swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy. al-Bukhaariy ameipokea katika “as-Swahiyh” yake pasi na ”Kizazi kimening´inizwa na ´Arshi”. Imesahihishwa na at-Tirmidhiy. Ziada hii inatiliwa nguvu na Hadiyth nyingi kutoka kwa jopo la Maswahabah, ikiwa ni pamoja na ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) kwa al-Bukhaariy na Muslim.
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95-96
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/32-huyu-ndiye-anahifadhi-kizazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)