2- Imechukizwa kuitwa kwa majina yaliyo na maana ya shahawa. Wasichana wengi wanaitwa hivo. Baadhi ya majina hayo ni:
1- Ahlaam (ndoto)
2- Ariyj (harufu)
3- ´Abiyr (harufu)
4- Ghaadah (mwanamke mrembo)
5- Fitnah (fitina)
6- Nihaad (mwanamke kijana aliye na matiti yalosimama)
7- Waswaal (jimaa)
8- Faatin (anayefitinisha kwa urembo wake)
9 na 10 – Shaadiyah na Shaadiy (mwimbaji)[1].
[1] Tazama “as-Silsilah as-Swahiyah” (216).
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
- Imechapishwa: 18/03/2017
2- Imechukizwa kuitwa kwa majina yaliyo na maana ya shahawa. Wasichana wengi wanaitwa hivo. Baadhi ya majina hayo ni:
1- Ahlaam (ndoto)
2- Ariyj (harufu)
3- ´Abiyr (harufu)
4- Ghaadah (mwanamke mrembo)
5- Fitnah (fitina)
6- Nihaad (mwanamke kijana aliye na matiti yalosimama)
7- Waswaal (jimaa)
8- Faatin (anayefitinisha kwa urembo wake)
9 na 10 – Shaadiyah na Shaadiy (mwimbaji)[1].
[1] Tazama “as-Silsilah as-Swahiyah” (216).
Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 26
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/32-aina-ya-pili-ya-majina-yaliyochukizwa/