123- Kusherehekea kwa Ka´bah kuvishwa pazia.
124- Kusherehekea kwa sehemu ya kusimama Ibraahiym kuvishwa pazia.
125- Kufunga vitambara sehemu ya kusimama Ibraahiym na mimbari ili kuweza kufikia haja mbalimbali.
126- Mahujaji kuandika majina yao kwenye nguzo na kuta za Ka´bah na kuambizana kufanya hivo.
127- Kuonelea kufaa kupita mbele ya mwenye kuswali katika msikiti Mtakatifu na kufanya upinzani na yule mswaliji ambaye anawazuia.
128- Kumwita yule ambaye amekwishahiji “al-Hajj”.
129- Kutoka Makkah kwa ajili ya kufanya ´Umrah ya kujitolea/ya sunnah.
130- Kutoka msikiti Mtakatifu kinyumenyume baada ya kumaliza kufanya Twawaaf-ul-Wadaa´.
131- Kuipaka rangi nyumba ya mwenye kuhiji kwa rangi nyeupe, kuchora picha na kuandika jina lake na tarehe ni lini kafanya hajj.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah, uk. 55
- Imechapishwa: 22/07/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)