30- al-Hasan bin ´Aliy al-Baswriy ametuhadithia: Abur-Rabiy´ az-Zahraaniy ametuhadithia: Abu Ma´mar ametuhadithia: ´Awn bin ´Abdillaah bin al-Haarith ametuhadithia, kutoka kwa kaka yake, kutoka kwa baba yake ´Abdullaah bin al-Haarith bin Nawfal aliyeeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) ameumba vitu vitatu kwa mkono Wake. Amemuumba Aadam kwa mkono Wake. Ameiandika Tawraat kwa mkono Wake na ameipanda Firdaws kwa mkono Wake.”[1]
[1] al-Bayhaqiy amesema:
“Kuna Swahabah anayekosekana katika mlolongo wa wapokezi, Mursal.” (al-Asmaa´ was-Swifaat (2/125))
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 69-71
- Imechapishwa: 28/02/2018
30- al-Hasan bin ´Aliy al-Baswriy ametuhadithia: Abur-Rabiy´ az-Zahraaniy ametuhadithia: Abu Ma´mar ametuhadithia: ´Awn bin ´Abdillaah bin al-Haarith ametuhadithia, kutoka kwa kaka yake, kutoka kwa baba yake ´Abdullaah bin al-Haarith bin Nawfal aliyeeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) ameumba vitu vitatu kwa mkono Wake. Amemuumba Aadam kwa mkono Wake. Ameiandika Tawraat kwa mkono Wake na ameipanda Firdaws kwa mkono Wake.”[1]
[1] al-Bayhaqiy amesema:
“Kuna Swahabah anayekosekana katika mlolongo wa wapokezi, Mursal.” (al-Asmaa´ was-Swifaat (2/125))
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 69-71
Imechapishwa: 28/02/2018
https://firqatunnajia.com/31-dalili-juu-ya-mkono-wa-allaah-16/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket