29 – Mujaahid amesema:
”Ibn ´Abbaas aliambiwa kwamba kuna watu wanaopinga Qadar. Akasema: ”Wanakadhibisha Uandishi. Nikishika unywele wa mmoja wao, basi ningeliung´oa. Allaah (´Azza wa Jall) alikuwa juu ya ´Arshi Yake kabla ya kuumba chochote. Akaumba viumbe na akaandika yale yatayokuwepo mpaka siku ya Qiyaamah. Watu wanapita katika mambo ambayo tayari yamekwishaamuliwa.”[1]
[1] Mtunzi katika asili ametaja cheni ya wapokezi wake ambayo ni Swahiyh. Imepokelewa vilevile na al-Aajurriy katika “ash-Shariy´ah”, uk. 293, al-Laalakaa’iy katika “Sharh I´tiqaad Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah”, uk. (1/91/2) na Ibn Qudaamah katika “Ithbaat Swifat-il-´Uluww” (62).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
29 – Mujaahid amesema:
”Ibn ´Abbaas aliambiwa kwamba kuna watu wanaopinga Qadar. Akasema: ”Wanakadhibisha Uandishi. Nikishika unywele wa mmoja wao, basi ningeliung´oa. Allaah (´Azza wa Jall) alikuwa juu ya ´Arshi Yake kabla ya kuumba chochote. Akaumba viumbe na akaandika yale yatayokuwepo mpaka siku ya Qiyaamah. Watu wanapita katika mambo ambayo tayari yamekwishaamuliwa.”[1]
[1] Mtunzi katika asili ametaja cheni ya wapokezi wake ambayo ni Swahiyh. Imepokelewa vilevile na al-Aajurriy katika “ash-Shariy´ah”, uk. 293, al-Laalakaa’iy katika “Sharh I´tiqaad Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah”, uk. (1/91/2) na Ibn Qudaamah katika “Ithbaat Swifat-il-´Uluww” (62).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/31-allaah-alikuwa-juu-ya-arshi-yake-kabla-ya-kuumba-chochote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)