Swali 30: Je, mwenye kujificha na mwenye kudhihirisha maasi na mtu wa Bid´ah wote wawili wanaraddiwa sawa au kwa kila mmoja ana namna yake na kutegemea na yale aliyomo?
Jibu: Ambaye anajificha na mwenye kudhihirisha, haya ni kuhusu maasi. Lakini mtu wa Bid´ah anaona yuko katika haki na kwamba anafanya lililo jema. Yeye siku zote anakuwa mwenye kufanya waziwazi. Kunakuwepo ambaye anamsapoti mzushi huyu kwa njia isiyokuwa ya Kishari´ah. Huyu ndiye ambaye anatakiwa kusimamiwa kidete na kubainisha jambo lake. Wazushi wa leo wanajificha nyuma ya ´Aqiydah ya Khawaarij na wanawadhihirishia watu kuwa hawaonelei hivo. Ni waongo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fataawaa al-Jaliyyah
- Imechapishwa: 23/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)