06 – Mke kutomuasi mume wake na aishe na kutaamiliana naye kwa uzuri na kuzinduka naye katika kila kitu
Naona ni vyema kunakili wasia wa mama mmoja alikuwa akimpa binti yake, kwani ni wasia wenye kutosheleza kwa mwenye kuuelewa na akaufahamu. Mwanamke mmoja mwenye hekima na akili alimuusia Umaamah bint al-Haarith, msichana wake wakati alipoenda kwa mume wake.
- Mhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 48
- Imechapishwa: 27/04/2024
06 – Mke kutomuasi mume wake na aishe na kutaamiliana naye kwa uzuri na kuzinduka naye katika kila kitu
Naona ni vyema kunakili wasia wa mama mmoja alikuwa akimpa binti yake, kwani ni wasia wenye kutosheleza kwa mwenye kuuelewa na akaufahamu. Mwanamke mmoja mwenye hekima na akili alimuusia Umaamah bint al-Haarith, msichana wake wakati alipoenda kwa mume wake.
Mhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 48
Imechapishwa: 27/04/2024
https://firqatunnajia.com/30-tiba-ya-sita-ya-talaka-ambayo-ni-mke-kutomuasi-mumewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)