28 – Asmaa´ bint Abiy Bakr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ile siku niliposafirishwa usiku, niliishilia kwenye mkunazi… ”[1]
Cheni ya wapokezi ni njema.
[1] Katika “al-Khaswaais al-Kubraa” amemuegemezea Ibn Marduuyah Hadiyth mfano wake kutoka kwake Asmaa´. Hadiyth iko na nyingi zinazoitia nguvu katika al-Bukhaariy na Muslim na kwenginepo kupitia kwa Anas na wengineo, ambazo unaweza kuziona katika “al-Khaswaais al-Kubraa”. Nimeikagua Hadiyth ya Anas katika ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (791).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
28 – Asmaa´ bint Abiy Bakr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ile siku niliposafirishwa usiku, niliishilia kwenye mkunazi… ”[1]
Cheni ya wapokezi ni njema.
[1] Katika “al-Khaswaais al-Kubraa” amemuegemezea Ibn Marduuyah Hadiyth mfano wake kutoka kwake Asmaa´. Hadiyth iko na nyingi zinazoitia nguvu katika al-Bukhaariy na Muslim na kwenginepo kupitia kwa Anas na wengineo, ambazo unaweza kuziona katika “al-Khaswaais al-Kubraa”. Nimeikagua Hadiyth ya Anas katika ”Dhwilaal-ul-Jannah fiy Takhriyj-is-Sunnah” (791).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 95
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/30-juu-kabisa-alipofika-mtume-katika-safari-yake-ya-usiku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)