Mnyonyeshaji na mjamzito ni lazima kwao kulipa siku nyingine zile siku walizokula. Ambaye amekula kwa kukhofia afya ya mtoto wake – mbali na kulipa – ni lazima vilevile kulisha masikini juu ya kila siku aliyokula. ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Ibn ´Abbaas na Maswahabah wengineo wametoa fatwa kuhusu mjamzito na myonyeshaji pindi watapochelea juu ya watoto wao wale na walishe chakula masikini juu ya kila siku.”[1]
Bi maana walipe na walishe chakula kwa kila siku moja.
[1] Zaad-ul-Ma´aad (02/29).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/392)
- Imechapishwa: 30/05/2021
Mnyonyeshaji na mjamzito ni lazima kwao kulipa siku nyingine zile siku walizokula. Ambaye amekula kwa kukhofia afya ya mtoto wake – mbali na kulipa – ni lazima vilevile kulisha masikini juu ya kila siku aliyokula. ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim (Rahimahu Allaah) amesema:
“Ibn ´Abbaas na Maswahabah wengineo wametoa fatwa kuhusu mjamzito na myonyeshaji pindi watapochelea juu ya watoto wao wale na walishe chakula masikini juu ya kila siku.”[1]
Bi maana walipe na walishe chakula kwa kila siku moja.
[1] Zaad-ul-Ma´aad (02/29).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Mulakhasw al-Fiqh (01/392)
Imechapishwa: 30/05/2021
https://firqatunnajia.com/30-deni-la-mwanamke-mnyonyeshaji-na-mjamzito-2/