13 – Mwanamke kutoka bila ya ruhusa ya mume wake
Miongoni mwa makosa yanayopingana na Shari´ah ni kutoka kwa baadhi ya wanawake pasi na waume zao kujua khaswa pale mwanamke anapotaka kwenda sokoni au kwa jirani, jambo ambalo halijuzu. Ni lazima kupata ruhusa ya mume kuhusu kutoka. Kwa hivyo zinduka juu ya hilo!
- Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 29-30
- Imechapishwa: 03/03/2026
13 – Mwanamke kutoka bila ya ruhusa ya mume wake
Miongoni mwa makosa yanayopingana na Shari´ah ni kutoka kwa baadhi ya wanawake pasi na waume zao kujua khaswa pale mwanamke anapotaka kwenda sokoni au kwa jirani, jambo ambalo halijuzu. Ni lazima kupata ruhusa ya mume kuhusu kutoka. Kwa hivyo zinduka juu ya hilo!
Muhusika: Dr. ´Abdul-´Aziyz bin Daawuud al-Faaiz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tawjiyhaat wa Tanbiyhaat lil-Fataati al-Muslimah, uk. 29-30
Imechapishwa: 03/03/2026
https://firqatunnajia.com/29-mwanamke-kutoka-bila-ya-ruhusa-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket