168 – Ibraahiym bin al-Hajjaaj as-Saamiy ametukhabarisha: ´Abdul-´Aziyz bin Muslim ametukhabarisha, kutoka kwa ar-Rabiy´ bin Anas, kutoka kwa Abul-´Aaliyah, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wape bishara njema ummah huu ya utukufu, enzi na kumakinishwa. Atakayefanya miongoni mwao kitendo cha Aakhirah kwa ajili ya dunia yake, basi huko Aakhirah hatopata fungu lolote.”[1]
[1] Ahmad (20716). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (2825).
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 41
- Imechapishwa: 07/07/2025
168 – Ibraahiym bin al-Hajjaaj as-Saamiy ametukhabarisha: ´Abdul-´Aziyz bin Muslim ametukhabarisha, kutoka kwa ar-Rabiy´ bin Anas, kutoka kwa Abul-´Aaliyah, kutoka kwa Ubayy bin Ka´b, ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Wape bishara njema ummah huu ya utukufu, enzi na kumakinishwa. Atakayefanya miongoni mwao kitendo cha Aakhirah kwa ajili ya dunia yake, basi huko Aakhirah hatopata fungu lolote.”[1]
[1] Ahmad (20716). Swahiyh kwa mujibu wa al-Albaaniy katika “Swahiyh-ul-Jaamiy´” (2825).
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin Abiy ´Aaswim ash-Shaybaaniy (a.f.k. 287)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-uz-Zuhd, uk. 41
Imechapishwa: 07/07/2025
https://firqatunnajia.com/29-kitendo-cha-kidini-kwa-ajili-ya-kuitafuta-dunia/