Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
50 – Makadirio ni siri ya Allaah (Ta´ala) katika viumbe Wake. Hakuna Malaika aliye karibu wala Mtume aliyetumilizwa aliyemfanya kujua jambo hilo. Kuzama na kupekua jambo hilo kutampelekea katika kukoseshwa nusura, kunyimwa na kuchupa mipaka.
MAELEZO
Pengine – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – makusudio ya kuchupa mipaka huku ni pale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Wakati kunapotajwa makadirio, basi nyamazeni.”
Ni Hadiyth Swahiyh na iliyosimuliwa kutoka kwa kikosi cha Maswahabah. Nimeitaja katika ”Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah”[1].
[1] Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (34).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 41-42
- Imechapishwa: 24/09/2024
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
50 – Makadirio ni siri ya Allaah (Ta´ala) katika viumbe Wake. Hakuna Malaika aliye karibu wala Mtume aliyetumilizwa aliyemfanya kujua jambo hilo. Kuzama na kupekua jambo hilo kutampelekea katika kukoseshwa nusura, kunyimwa na kuchupa mipaka.
MAELEZO
Pengine – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – makusudio ya kuchupa mipaka huku ni pale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Wakati kunapotajwa makadirio, basi nyamazeni.”
Ni Hadiyth Swahiyh na iliyosimuliwa kutoka kwa kikosi cha Maswahabah. Nimeitaja katika ”Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah”[1].
[1] Silsilat-ul-Ahaadiyth as-Swahiyhah (34).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 41-42
Imechapishwa: 24/09/2024
https://firqatunnajia.com/28-yanapotajwa-makadirio-basi-nyamazeni/